Monday, 31 October 2022

Kazi Mtaani Project abolished

ABOLISHMENT OF KAZI MTAANI PROGRAMME

Kazi mtaani program was launched in the year April 2020 by retired President Uhuru Kenyatta. The program was for local economic recovery initiative, also was a local source of livelihood for thousands of youths who are unemployed and was source of income to cater for their families and siblings. It gave hope to thousands of youths who lost their jobs during the pandemic of covid-19.


 What kazi mtaani program offered.

Youths benefitted from Kazi mtaani is estimated 280,000 and the government funded in terms of phases and the first being Kshs 1.3billion and the second phase being Kshs 2.4billion. The program began as pilot and later on rolled to all counties countrywide. 1,100 informal settlements in 47 counties benefitted hygienically and health wise.

                                                photo used for illustration of kazi mtaani program

Impact of kazi mtaani project.

There was training structured and life skills which included Business setting, HIV/AIDS prevention, mental health awareness and counselling. Most youth would benefit as they could support the parents, their families and establish a business from earnings.

 The rate of crime reduced so much since idleness and lack of source of livelihood would would be catered here. This was a sure bet to many youths and a hope for a better family, community and psychologically wellness of many youths.

Many urban settlements where garbage and siltation had clogged was periodically cleared and improvement of health and sanitation.

photo used for illustration of kazi mtaani program

Abolishment of Kaazi Mtaani Program

The current president His excellency William Ruto on 25th October 2022

A substitute of kazi mtaani

Youths are offered alternative of planting trees and to be engaged in the construction of affordable housing projects yet to be initiated in many counties across the county rather only Kibra has had opportunity of the program being launched.

The initial Kazi mtaani programe was sighted as with low income, outdated with no new initiatives and could only absorb few youth as compared to his proposal of Affordable housing program which will create more jobs and transform the informal settlements.

 

Conclusion

  • Many youth are now in limbo since many questions are what they are failing to answer?
  • Will they have another source of income within?
  • Will government be able to fulfill a project of affordable housing?
  • Will this be a worthy opportunity for youths who will be absorbed in this program yet many who graduated from the field of building construction and civil engineering are yet even to get opportunities to put their skills to use.

Sunday, 30 October 2022

MASOMO YA DOMINIKA YA 31, MWAKA C, 2022

 Masomo ya Misa 30/10/2022


Somo la Kwanza

Hek 11:22-12:2

Ulimwengu wote mbele zako Bwana, ni kama chembe moja katika mizani na mfano wa tone moja la umande lishukalo asubuhi juu ya ardhi. Lakini Wewe unawahurumia watu wote, kwa sababu unao uweza wa kutenda mambo yote; nawe wawaachilia wanadamu dhambi zao, ili wapate kutubu. Kwa maana Wewe wavipenda vitu vyote vilivyopo, wala huchukii kitu chochote ulichokiumba.Kwa kuwa hulingalifanya kamwe kitu chochote kama ungalikichukia; tena kitu cho chote kingaliweza kudumu, ila kwa mapenzi yako? au kitu kisichoumbwa nawe kingaliwezaje kuhifadhika? Lakini Wewe unaviachilia vyote, kwa kuwa ni vyako, Ee Mfalme Mkuu, mpenda roho za watu, maana roho yako isiyoharibika imo katika vyote. Kwa hiyo wawathibitishia kidogo kidogo hatia yao, wale wanaokengeuka kutoka katika njia njema; wawaonya, ukiwakumbusha kwa mambo yale yale wanayokosa, ili waokoke katika ubaya wao, na kukuamini Wewe, Bwana.


Wimbo wa Katikati

Zab 145: 1-2, 8-11, 13-14

Ee Mungu wangu, Mfalme, nitakutukuza, 

Nitalihimidi jina lako milele na milele.

Kila siku nitakuhimidi, 

Nitalisifu jina lako milele na milele. 

(K) Ee Mungu Mfalme wangu, Nitalitukuza jina lako milele


Bwana ana fadhili, ni mwingi wa huruma, 

Si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema,

Bwana ni mwema kwa watu wote, 

Na rehema zake zi juu ya kazi zake zote.

(K) Ee Mungu Mfalme wangu, Nitalitukuza jina lako milele


Ee Bwana, kazi zako zote zitakushukuru, 

Na wacha Mungu wako watakuhimidi.

Wataunena utukufu wa ufalme wako, 

Na kuuhadithia uweza wako. 

(K) Ee Mungu Mfalme wangu, Nitalitukuza jina lako milele


Ufalme wako ni ufalme wa zamani zote, 

Na mamlaka yako ni ya vizazi vyote.

Bwana huwategemeza wote waangukao, 

Huwainua wote walioinama chini. 

(K) Ee Mungu Mfalme wangu, Nitalitukuza jina lako milele


Somo la Pili

2The 1:11-2:2

Kwa hiyo twawaombea ninyi sikuzote, ili Mungu wetu awahesabu kuwa mmekustahili kuitwa kwenu, akatimiza kila haja ya wema na kila kazi ya imani kwa nguvu; jina la Bwana wetu Yesu litukuzwe ndani yenu, nanyi ndani yake, kwa neema ya Mungu wetu na ya Bwana Yesu Kristo. Basi, ndugu, tunakusihini, kwa habari ya kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo, na kukusanyika kwetu mbele zake, kwamba msifadhaishwe upesi hata kuiacha nia yenu, wala msisitushwe, kwa roho, wala kwa neno, wala kwa waraka unaodhaniwa kuwa ni wetu, kana kwamba siku ya Bwana imekwisha kuwapo.


Shangilio

Lk 2:36

Aleluya, aleluya

Kesheni ninyi kila wakati, mkiomba, ili mpate kusimama mbele za Mwana wa Adamu.

Aleluya


Somo la Injili

Lk 19:1-10

Yesu alipoingia Yeriko alipita katikati yake.Na tazama, palikuwa na mtu, jina lake Zakayo, mkubwa mmoja katika watoza ushuru, naye ni tajiri. Huyu alikuwa akitafuta kumwona Yesu ni mtu wa namna gani, asiweze kwa sababu ya umati wa watu, maana ni mfupi wa kimo. Akatangulia mbio, akapanda juu ya mkuyu apate kumwona, kwa kuwa atakuja kuipitia njia ile. Na Yesu, alipofika mahali pale, alitazama juu, akamwambia, Zakayo, shuka upesi, kwa kuwa leo imenipasa kushinda nyumbani mwako. Akafanya haraka, akashuka, akamkaribisha kwa furaha. Hata watu walipoona, walinung'unika wote, wakisema, Ameingia kukaa kwa mtu mwenye dhambi. Zakayo akasimama, akamwambia Bwana, Tazama, Bwana, nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimenyang'anya mtu kitu kwa hila namrudishia mara nne. Yesu akamwambia, Leo wokovu umefika nyumbani humu, kwa sababu huyu naye ni mwana wa Ibrahimu. Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.


© shajara 

Mambo tunayo jifunza kutokana na injili 

1. Mwenye dhambi anapata kusamehewa na ana nafasi bado na mwenyezi Mungu 

2. Mungu hachagui anapokuita na kukubariki, hatazami maumbile, hadhi katika jamii bali moyo wako. 

PAIDWORK PLATFORM

PAIDWORK PLATFORM Paidwork platform is an online earning platform which one enables to earn money. Paidwork platform provides various method...